ILE sera ya mipango miji katika Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, imepamba moto baada ya wakazi wa Sinza Mori na Bamaga kubomolewa nyumba zao kufuatia kujenga sehemu zilizotengwa kwa ajili ya barabara.
Zoezi hilo lililoacha simanzi, majonzi na vilio kwa wakazi hao, limefanyika leo na kushuhudiwa na kamera yetu.
(Habari /Picha : Haruni Sanchawa)
Zoezi hilo lililoacha simanzi, majonzi na vilio kwa wakazi hao, limefanyika leo na kushuhudiwa na kamera yetu.
(Habari /Picha : Haruni Sanchawa)
No comments:
Post a Comment