Apr 30, 2013

PADRI WA KANISA KATOLIKI AFUMANIWA NA MKE WA MTU LIVE..

JAMANI MNAMJUA HUYU MBURURAAAA????

AIBU GANI WEWE PADRI WA KANISA KATOLIKI UNANYEGE GANI MPAKA UKAMLALE MKE WA MTU WEWE NI LAANA HIYO JAMANIIIII,,,,, DAMN IT,,,


KANISA Katoliki Jimbo la Moshi limeingia katika kashfa nzito baada ya padri wake, Father Urbanus Ngowi wa moja ya parokia zake kudaiwa ku fumaniwa  na mwanamke anayesemekana ni mke wa mtu, Ijumaa Wikienda lina sakata zima.

MSHANGAO: Father Ngowi akiwa ameduwaa baada ya kufumaniwa akiwa na mke wa mtu aliyejulikana kwa jina la kijamii la Mama P.

Sakata la fumanizi hilo linadaiwa kutokea Jumatatu ya wiki iliyopita chumbani kwa padri huyo, Marangu Wilaya ya Moshi  Vijijini ambako Father Ngowi inasemekana alikutwa ‘laivu’ akiwa na mwanamke huyo aliyejulikana kwa jina la kijamii la Mama P.
Pamoja na kunaswa huko, vyanzo havijaeleza humo chumbani wawili hao walikuwa wakifanya nini!
Habari zinadai siku ya tukio, mwanamke huyo aliingia nyumbani kwa padri huyo ambapo baadhi ya ndugu wa mumewe walikuwa wakimfuatilia baada ya madai yaliyokuwepo kwamba ana ukaribu wenye maswali mengi na mtumishi huyo wa Mungu.
“Unajua siku nyingi ilivuma kwamba Mama P na Father Ngowi wana ukaribu wenye maswali mengi, mume wake alifuatilia na kubaini ni kweli lakini akashindwa kuutenganisha ukaribu wao,” kilidai chanzo.



SHAME ON YOU MWANAMKE ULIYE SCREW  PADRI...


Kelly Rowland New Boyfriend??.

UUH JAMANI KELLY HUYU NAE MMH GROSS.. HE IS TOO OLD FOR U GAL... I HOPE ANAOESA NYINGI ZA KUKUZINGUA MMH MCHAFU CHAFUU

     


  Kelly Rowland Spotted On Miami Beach Over The Weekend Kissing Her New Boyfriend!! -- Kelly Rowland has a new love in her life. But the public has no idea who he is. The singer was spotted making out with some mystery man on Miami beach this weekend. The gorgeous star, who was recently named to PEOPLE's "Most Beautiful People" list, has been pretty closed-mouthed about who she's dating, but they are definitely more than friends.


Kim Kardashian & Kanye West -- PRAISED BY HOSPITAL ... You're Saving Sick Babies



0430_kim_kanye_hospital_getty_2
Kim Kardashian and Kanye West are bona fide HEROES ... this according to a Chicago Children's Hospital which says the money raised by the couple will be used to treat sick babies. 

Lady Detective broke the story ... Kim and Kanye are urging friends and family members to abstain from sending baby gifts -- instead, they're asking well-wishers to send donations to the Lurie Children’s Hospital of Chicago. 

Now, reps for the hospital are hailing the couple for the generous move -- saying, "Ann & Robert H. Lurie Children’s Hospital of Chicago would like to extend its sincerest gratitude to Kim Kardashian and Kanye West for their thoughtfulness and support of the hospital."

The rep continues, "Funds donated on behalf of Kardashian and West will be directed to the Neonatal Intensive Care Unit Fund which will help care for the most critically ill babies and their families."

"We wish them all the best in the upcoming arrival of their baby."

Jason Collins' Ex-Fiancee -- I Had NO IDEA He Was Gay

0428_jason_collins_carolyn_moos
The woman who was once engaged to NBA star Jason Collins tells Lady Detective, she had NO CLUE he was gay at the time of their relationship ... in fact, she only found out last weekend ... and she was floored.

Carolyn Moos (who played a few seasons in the WNBA) dated Collins for seven years and was engaged to him until they broke up in 2009 ... after Collins pulled the plug on their wedding.

Carolyn tells Lady Detective, she never once suspected he was gay, so the news is shocking. She says Collins eventually revealed everything last weekend -- just days before his big announcement -- and said that his homosexuality was the real reason he ended things with her.

At the time of their breakup, Carolyn says Jason gave a bunch of BS reasons for calling it quits ... and she could never understand what went wrong, until now.

Carolyn -- who's back on the hunt for Mr. Right -- tells us, "It's very emotional for me as a woman to have invested 8 years in my dream to have a husband, soul mate, and best friend in him. So this is all hard to understand."

She adds, "I care about [Jason] tremendously and only want the best for him. I want Jason to be happy for a lifetime and stay true to who he really is, inside and out."

Apr 19, 2013


awkwardkisses

Unfortunately, the sad truth is that they are not, and usually we ALL end up looking awkward at one time or another- celebrities included! Actually, I feel like it’s more awkward watching celebrities kiss, don’t you think? Since you guys loved our original
 post, we thought we’d round up 20 MORE derpy liplocks. Look through them and judge for yourself!Okay. I’ll admit. I am a sap for romance movies, and of course, my favorite part is usually when the hero and heroine kiss for the first time. The kiss just seems so magical, and “anatomically” perfect. You know what I mean? Wouldn’t it be great if all our kisses in life could be that perfect?





Tanning Mom: I'm Way Hotter Than Farrah Abraham ... And I Do GREAT Porn


Hahahaa mama nae yumo apitwe kwa nini?

0418_tanning_mom_pcn
Tanning Mom Patricia Krentcil wants more than a sun kiss ... she wants to get plowed in a full-on porno -- for a hefty price.



LD has obtained an email sent to Vivid Entertainment's Prez Steve Hirsch, in which the 45-year-old leatherette says, "I see you are trying to buy this sex tape from this Teen Mom.  Well, if you REALLY want to make more MONIES, then I would agree to let you film me and all my hotness."



Krentcil, oblivious to shame, goes on:  "I am far MORE popular and WAY HOTTER than Farrah!"  And there's more ... "Men want a cougar and a real woman, not a teenybopper."



But sex -- and Krentcil -- do not come cheap.  She makes it clear to the Vivid honcho, "Contact me back if you're ready to talk serious cash and rock the world."



Sad ending.  Hirsch sent a return email, telling T.M., "Unfortunately we don't have a granny porn section on Vivid.com, but we feel your look would be perfect for radio. You could talk about everything you've ever done on a tanning bed."

SEKESEKE MH! MKE AMSHUSHIA KIPIGO MUMEWE BAR,,,,,




Mwanamke mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja, hivi karibuni alizua sekeseke la aina yake baada ya kumvaa mwanaume anayedaiwa ni mume wake na kumshushia kichapo.
Tukio hilo la aina yake lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye Baa ya Corner iliyopo Afrikasana, Sinza jijini Dar ambapo inadaiwa chanzo cha vurumai hilo ni mwanaume huyo kutoonekana nyumbani.

Chanzo chetu kilichokuwa eneo la tukio hilo kilitutonya kuwa, awali mwanamke huyo alitinga katika kiwanja hicho cha kujidai asubuhi na mapema huku akionekana kuangazaangaza huku na kule kabla ya kukutana na bwana wake huyo na kuanza kuzozana.
“Yule mwanamke alipofika hapa alionekana alikuja kishari na hata alivyokuwa akiongea na yule bwana wake tulibashiri kutokea kwa ugomvi.

Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ si mtoto tena, ametimiza rasmi umri wa miaka 18, kilichofuata ni kuangusha bonge la pati ya bethidei....



Lulu ambaye hivi karibuni aliachiwa kwa dhamana katika kesi ya kumuua bila kukusudia mwigizaji mwenzake aliyekuwa mwandani wake, marehemu Steven Kanumba aliangusha pati hiyo katika hoteli ya nyota tano ya Serena ya jijini Dar usiku wa kuamkia Jumatano iliyopita, Aprili 17, mwaka huu.
MAMA LULU NDANI
Shushushu wetu aliyekuwa ndani ya sherehe hiyo alinyetisha kuwa ilihudhuriwa na watu maalum wachache wakiwemo rafiki, wasanii na mama yake mzazi, Lucresia Karugila.
TUMSHUKURU MUNGU
Ilinyetishwa kwamba kabla ya yote, wageni waalikwa waliokuwa na nyuso za furaha walishirikiana na familia ya Lulu kumshukuru Mungu na kumwomba amzidishie staa huyo umri wa kuishi duniani bila vikwazo vya shetani.
“Kikubwa ilikuwa ni kumshukuru Mungu kwa kumfanikisha kufikisha umri wa miaka 18 kwani huko nyuma kulikuwa na maneno mengi juu ya umri wake,” alinyetisha mtu wetu.
NENO LA LULU
Muda mfupi akiwa ukumbini hapo, Lulu alitundika picha za tukio hilo kwenye ukurasa wake katika mtandao wa kijamii wa Instagram na kuandika: No more questions (hakuna maswali zaidi)…No more answers (hakuna maji zaidi)…No more lies (hakuna uongo zaidi).
Katika moja ya keki za zoezi hilo kulikuwa na maandishi yaliyosomeka: Happy birthday Lizy “official 18”. Katika sentensi nyingine, maandishi hayo yalimaanisha kuwa amefikisha rasmi miaka 18.
MISOSI, VINYWAJI
Chanzo hicho ambacho
kilifuatilia pati hiyo hatua kwa hatua kilinyetisha kuwa kulikuwa na misosi na vinywaji vya kumwaga ambapo wahudhuriaji walikula na kunywa hadi wakasaza.
LULU MNG’ARO
Kwa macho ya kawaida kabisa, Lulu aling’ara sawia ndani ya gauni refu jeupe lenye kuacha mgongo wazi na kiatu kirefu cha ‘CL’.
“Yaani kiukweli pati ya Lulu ilikuwa bab’kubwa, kwanza ilikuwa ni ya kistaarabu mno na watu wote walipendeza sana akiwemo Lulu mwenyewe. Haikuwa ya kihuni kama wafanyavyo mastaa wengine,” alisema  mpashaji wetu.


Apr 18, 2013

TANNING MOM TOPLESS BIKINI MELTDOWN!




The environmental effects wreaked on the ecosystem are still unknown after a somewhat pale Tanning Mom aka Patricia Krentcil attempted to bronze her luscious droopy topless flesh, balloon knot belly button and tatted up vadge in an unfortunate silver bikini on a quarantined New Jersey beach yesterday.

Since getting off the hook for allegedly bringing her 5-year-old into a tanning booth, Patty -- who says she's 45 years old -- is now choosing to shrivel up like a raisin with the help of the natural sun.

To avoid damage, protective eyewear should be worn at all times.


KIM K/KRIS HUMPHRIES DIVORCE POSSIBLE SETTLEMENT!!!



0418_kim_kris_01
Kim Kardashian and Kris Humphries could settle their never-ending divorce case as early as tomorrow ....

The fleeting lovebirds are both ordered to appear in court tomorrow for a settlement conference.  The big hang-up is that Kris has been fighting for an annulment based on alleged fraud, and Kim has steadfastly refused to go down that road.  She wants a clean, simple divorce.

Sources close to Kris say there are various factors that are softening his position, including:

-- There's an ironclad prenup, if the case goes to trial Kris will get NO money from Kim (although as we previously reported Kris has demanded $7 mil from her -- good luck with that).

-- After all the depositions and legal docs flying back and forth, no evidence has surfaced showing Kim defrauded Kris -- and that goes to the heart of his claim.

-- Kris is about to get nailed with monetary sanctions for being a no-show at the last hearing and, in the process, he's pissed off the judge who would be presiding over the divorce trial.

-- If the case goes to trial and Kris loses, he could be in the hole for as much as a million bucks in attorney's fees.  Sources tell us each side has already racked up $300k in lawyer's fees, and they'll spend another $200k if the case goes to trial.  We broke the story, if the case goes to trial and Kim wins, she'll ask the judge to make Kris pay HER lawyer's fees.

Our sources say it's by no means a done deal that the case is going to settle tomorrow, but as one source put it, "Kris is opening his eyes a little bit, and what he sees doesn't look good."


Apr 17, 2013

MABINTI WA MANDELA AMBAO WAMEANZA 'KUGOMBANIA' MALI ZA BABA YAO, STORY NA PICHA UTAZIPATA HAPA


Kwa mujibu wa mtandao wa BBC, Wanawe rais mstaafu wa Afrika Kusini Nelson Mandela, wameamua kuchukua hatua za kuwaondoa wasaidizi wake watatu kutoka katika makampuni anayoyamiliki.




Makaziwe na Zenani Mandela wanadai kuwa watatu hao hawana haki ya kuwa kwenye bodi mbili za kampuni hiyo ambazo ni za thamani ya dola milioni 1.1



Zenani Mandela

Kesi hiyo inakuja wakati kuna wasiwasi mkubwa kuhusu afya ya Mandela mwenye umri wa miaka 94

Makaziwe Mandela

Mandela aliondoka hospitalini baada ya kutibiwa ugonjwa wa mapafu pamoja na homa ya mapafu, na katika rekodi amelazwa hospitalini mara ya nne katika kipindi cha miaka miwili.


HII NDIYO AJALI YA WANAFUNZI WA ST. CHARLES ILIYO TOKEA MJINI IRINGA



Wasamaria  wema  wakitoa msaada kwa  wanafunzi  wa shule ya St Chalresy Iringa  waliojeruhiwa katika ajali  leo 










Wanafunzi  waliojeruhiwa katika ajali  wakilia kwa uchungu kabla ya  kukimbizwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa  wa Iringa 









Wanafunzi hao  wakiwa  Hospitali ya Rufaa ya  mkoa  wa Iringa 

Askari  wa usalama barabara  wakifika eneo la  tukio  kutoa msaada  

Wanafunzi hao  majeruhi  wakiwa  Hospitali ya Rufaa ya  mkoa  wa Iringa

Askari  wa  usalama barabarani akitoa msaada  kwa  majeruhi  wanafunzi  wa St. Chalresy leo katika Hospitali ya Rufaa ya  mkoa  wa Iringa 







WANAFUNZI  zaidi ya 20  wa shule  ya  kimataifa ya  St Charles iliyopo  Don Bosco katika Manispaa ya Iringa  wamenusurika  kifo  baada ya  gari  waliyokuwa  wamepanga aina ya Daladala lenye namba T415  AEG kushindwa  kupanda mlima na kupinduka.
Huku mbinu  za  wezi  wa  watoto  zikionyesha  kugonga mwamba baada ya  mwanamke mmoja  kushtukiwa akitaka kukimbia na mtoto  asiye wake kwa madai anamkimbiza Hospitali.

Ajali  hiyo  imetokea majira ya saa 2 mchana  wa  leo  katika  eneo la Msikiti  wa Hidaya katika  kata ya Mvinjeni katikati ya mji  wa Iringa.


Wakizungumza na  mwandishi  wa habari  hizi  eneo la  tukio  baadhi ya mashuhuda  walisema  kuwa daladala  hilo ambalo lilikuwa  likitokea  eneo la Frelimo katika Manispaa ya Iringa  kuelekea mjini Iringa mara baada ya kufika  eneo hilo lilishindwa  kupanda  mlima na kuanza  kurudi  nyuma kwa kasi kabla ya kupinduka.


Alisema  shuhuda  huyo Juma Omari  kuwa chanzo cha ajali  hiyo ni mwendo kasi ,ubovu  wa gari hilo pamoja  na uzembe wa  dereva ambaye  alionekana  kuendesha gari hilo kwa bila  kuchukua tahadhari na pamoja na  kutambua mbele  kuna kona na mlima ila hakuweza  kuzingatia  hilo.


Hata  hivyo  alisema  kutokana na ajali  hiyo  dereva  na konda wake  waliwatelekeza   watoto hao ambao  wanakadiliwa  kuwa na umri  wa miaka 7 na 9 na  wao  kutoweka  kusikojulikana na kuwaacha  watoto hao bila kuwapa msaada  wowote hadi wananchi  walipofika  kutoa msaada  wa  kuwatoa katika daladala  hilo na  kuwakimbiza  katika  Hospitali ya  Rufaa ya mkoa  wa Iringa kwa matibabu  zaidi .


Alisema  katika ajali  hiyo hakuna aliyepoteza maisha  zaidi ya mwanamke mmoja ambae jina  lake bado kufahamika  aliyejeruhiwa  vibaya  mikono  yake.


Hata  hivyo  mmoja kati ya wauguzi  wa Hospitali ya mkoa  wa Iringa ambae  hakutaka  kutaja  jina lake kwa kuwa  si msemaji  wa Hospitali  hiyo alisema  kuwa hali  za  watoto hao  si mbaya  sana  zaidi ya  kupata michubuko midogo midogo .


Diwani  wa kata ya Mvinjeni Frank  Nyalusi amethibitisha  kutokea kwa ajali  hiyo na  kuwapongeza  wananchi  wa kata  hiyo ambao  walifika  kutoa msaada kwa  watoto  hao kwa kuwakimbiza  Hospitali.

wakati  huo  huo mwanamke mmoja ambae  jina halikuweza kupatikana mara moja amedaiwa  kutka  kuiba mmoja kati ya  watoto  waliojeruhiwa kwa madai  kuwa ni mtoto  wake na alikuwa akitaka  kumkimbiza Hospitali ya wilaya ya Iringa Frelimo badala ya Hospitali ya Rufaa ya mkoa ambako majeruhi  wengine  walikimbizwa .

Mwanamke  huyo alishtukiwa baada ya  kukutwa akitimua mbio uchochoroni huku akiwa na mtoto  huyo na baada ya kubanwa aliamua  kumtelekeza mtoto  huyo na kukimbia hali iliyopelekea uongozi  wa mtaa kuomba watoto  wote  wale  waliojeruhiwa na wazima kukimbizwa  Hospitali ya mkoa .