Jul 30, 2012

TAMASHA LA CHAGA DAY LAFANYIKA LEADERS CLUB

MAMIA YA WACHAGA WAKIJICHANA KWA NYAMA CHOMA NA MBEGE,,
Wadau wakipata mbege wakati wa tamasha la CHAGGA DAY lilofanyika katika viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam jana.
Masta wa tamasha la chagga day (katikati) Mkurugenzi wa Kampuni ya MyWayEntertainment, Paul Maganga pamoja na wadau wengine wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Mdau akipata mbege.
Wadau wakifurahia utamu wa mbege.
Wadau mbalimbali wakipata mbege pamoja na vyakula vya kiasili kama mseto Kiburu, ndafu, shiro, kitawamacharari, ngararimo, ng’ande, kisusio, mtori, Kisusio na vingine vingi.
Watu mbalimbali walioudhuria katika Chagga Day wakipata Nyama choma.

Vimwana wa bendi ya twanga wakionyesha umahiri wao wakiongozwa Luiza Mbutu wakati wa chagga day

No comments:

Post a Comment