Sep 13, 2012

BANZA STONE: KARIBU NAKUFA,,,


Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’.

MWANAMUZIKI wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ amefunguka kuwa amekata tamaa ya kuishi kwa vile ameota ndoto kuwa mwisho wake wa kuishi duniani umekaribia.
Akichezesha taya na paparazi wetu Jumatatu ya wiki hii jijini Dar, Banza alisema hivi karibuni aliota ndoto  anakufa na alioneshwa jinsi kifo chake kitakavyokuwa, ataugua ghafla na kufariki dunia.

No comments:

Post a Comment